New Lyrics

Z anto – Sumu baridi Lyrics

Z anto - Sumu baridi Lyrics
Z anto – Sumu baridi Lyrics

Z anto – Sumu baridi Lyrics. Sikutamani uende mbali nami
Kwa jinsi ulivyokuzoea
Wandoko umechuya moyoni ndani
Unaniwinda bila ya kujua

Shoga zako walisema una roho mbaya
Nikawapuuza nikawaona wabaya
Wengine wakasema siri zangu unazimwaga
Nikawacheki kwa mathara

Unajifanya sumu baridi (Sumu baridi)
Niko pa mgongo unanikaidi
Nakwamini we unabadili
Unafake sio

Unajifanya sumu baridi (Sumu baridi)
Niko pa mgongo unanikaidi
Nakwamini we unabadili
Unafake sio

Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh
Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh

Nilijua penzi lako tiba
Lingeponya maradhi yangu
Kumbe pendo lako limekula mwiba
Limechoma moyo wangu

Umenifanya niwe na roho mbaya
Ila anayenipenda naona wale wale
Mapenzi yamenikaba pabaya oooh

Unajifanya sumu baridi (Sumu baridi)
Niko pa mgongo unanikaidi
Nakwamini we unabadili
Unafake sio

Unajifanya sumu baridi (Sumu baridi)
Niko pa mgongo unanikaidi
Nakwamini we unabadili
Unafake sio

Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh
Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh

Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh
Una nyota nakupulizaga, ooh ooh
Ulijua utanimalizaga, oh ooh

Sumu baridi, sumu baridi, sumu baridi
Sumu baridi, sumu baridi, sumu baridi
Everybody
Sumu baridi, sumu baridi, sumu baridi

DJ Obza Ft Leon Lee – Mang’Dakiwe

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button