New Lyrics

HARMONIZE Ft NAIRA MARLEY – Ushamba Remix Lyrics

HARMONIZE Ft NAIRA MARLEY - Ushamba Remix Lyrics
HARMONIZE Ft NAIRA MARLEY – Ushamba Remix Lyrics

HARMONIZE Ft NAIRA MARLEY – Ushamba Remix Lyrics. Kondeboy
Weeeeeeeee

Huo ni ushambaa huo ni wee
Huo ni ushambaa huo ni wee
Huo ni ushambaa huo ni eeeeh
Huo ni ushambaa

Pesa ya kulipa gesti unayo eeeh
Nyumbani familia inapiga miyayo eeeh
Mmh yanafurahisha ufanyayo
Eeeh huo ni ushamba

Inaboa kudadadeki dereva wa Uber
Hataki kuova teki
Eti kisa pesa haiongezeki
Eeeh huo ni ushamba

Yupo kitandani kajilegeza eeh
Mi nimeshapaka vya kuteleza eeh
Eti bebi leo simba wanacheza eeeh
Huo ni ushamba

Husband material
Kutwa unalike picha za makalio vya wenzako
Usijipe matamanio
Eeh huo ni ushamba

Ashura wa mbagala huna pakula pakulala
Komenti ndefu picha za kajala
Huo tunaita eeeh huo ni ushamba

Huo ni ushambaa huoni
Huo ni ushambaa huo ni
Huo ni ushambaa huo ni eeeeh
Huo ni ushambaa

Mmmh malejendi si wamerudisha vita
Wanahofia eti jeshi anawapita
Bila sababu wananikunjia ndita
Eeh huo ni ushamba

Limechoka acha nilikalagaze
Halina meno ilo simba zeee
Likila demu lazima litangaze
Huo tunaita eeeh huo ni ushamba

Hivi dunia ndo ipo kikomo eeh
Maana hadi waganga wanapiga promo hadi insta eeh
Wana page za kujipigia domo eeeh
Huo ni ushamba

Amepanga chumba huko vingunguti
Yupo mbezi kwa demu pesa hatafuti
Mmh vipi akikupiga kibuti
Eeeh huo ni ushamba

Aaah konda wa daladala
Umenipitisha bahati mbaya
Nililala unataka nilipe tena ni busara
Eeeh huo ni ushamba

Huo ni ushambaa huo ni
Huo ni ushambaa huo ni
Huo ni ushambaa huo ni
Eeeeh huo ni ushambaa

Kaja na vumbi uso umefubaa
Aadai kapaka poda eeh
Kaniomba nauli ya Uber
Eeeh huo ni ushamba

Yule namuona kapanda boda
Vitu vingine haviji na ubongo eeh
Punguzeni sifa wana sio mchongo
Eeh demu humjui unampakia mkongoo

Eeeh huoni ushambaa
Yeye ndo kalewa kuliko wote
Anaimba nakucheza ngoma zote
Wakati wakulipa bili sina chochote
Eeh huo ni ushambaa

Meno yote nje anachekelea
Ahsante bebi nimepokea hasa
Mbona haujatuma na yakutoleaa
Eeeh huo ni ushambaa

Kumepambazuka alfajiri
Tupo club wana anasema subiri
Yani kisa yeye ndo mwenye usafiri
Aah eeeh huoni ushambaa

Tunaishi kwa nyumba ya kupanga
Mwenzetu unatuletea muganga
Unataka wote tuonekane wangaa
Huo tunaita eeeh huo ni ushambaa

Huo ni ushambaa huo ni
Huo ni ushambaa huo ni
Huo ni ushambaa huo ni
Eeeeh huo ni ushambaa

Hehehehee hasa kama
Tumekutana mchana unasema haujala
Heheheee asubuhi si ungeniomba mswaki
Wewee hehehe hahaha hahahahah

Huo ni ushambaa huo ni
Huo ni ushambaa huoni
Huo ni ushambaa huo ni

Huo ni ushambaa

They call me Kondeboy
No 1 jeshiiiiiii

Related Articles

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button