Haitham Kim – SEMA Lyrics
Haitham Kim – SEMA Lyrics We ndo ulifanya najiuliza
Wapi napata wakuntuliza
Nafsi ya moto puliza puliza
Penzi ni moto ukaniunguza
Bila kujali kama nami ni binadamu
Imenipotea hamu
Ila kihali salama
Nakula vitamu
Usijesogea kwangu
Tena fata yako njia ya kawaida
Sito come sito come kwako na
Shida sina ya kupendwa na weii
Uu baby
No no no shida
Sina hamu sina kitu cha kuagiza
Wala cha kuhongwa na weii
Nilikuuliza kama nafaa au sifai sema
Ungenieleza kama sifaiiii kuwa wako
Nilikuuliza kama nafaa au sifai sema
Ungenieleza kama sifaiiii kuwa wako
Tena fata yako njia ya kawaida
Sito come sito come kwako na
Shida sina ya kupendwa na weii
Uu baby
No no no shida
Sina hamu sina kitu cha kuagiza
Wala cha kuhongwa na weii