VIRUSI MBAYA Ft OKSYDE x SCAR MKADINALI x BOUTROSS – Chomeka Lyrics
VIRUSI MBAYA Ft OKSYDE x SCAR MKADINALI x BOUTROSS – Chomeka Lyrics. Naota nachoma, mama naota nachoma
Lete koro, lete koro nikiangushe hadharani
Lete koro, lete koro nikiangushe hadharani
Ningekuwa na kapyenga haingefika magiza
Tunachomeka, tunachomeka
Ukileta shada
Tunachomeka, tunachomeka
Shash wakisha
Tunachomeka, tunachomeka
Ukilete mbichwa
Tunachomeka, tunachomeka
Shash wakisha
Wapi pedi, wai wai
Wapi pedi, wai wai
Awashe hapana
Kwa nini? Mambleina
East or West place kamewaka ndio home
Akili inalipuka vile huyu kijana ako mandom
Si lazima tupande 4W hata mtaani tumejiseti
Nimetokea na slayqueen amejisundia kwa kibeti
Riz kwa matiti na amechukua hio kiberiti
Happy birthday to Mary Jane kila day ni 4:20
I swear mi huwawasha nawaacha wakijikuna